MISSION HOUSES


“Our Congregation dedicates itself to the needs of the local and universal Church and devotes itself the Parrochial ministry and other works of the Apostolate which are assumed according to the Provincial, Vicariate and the norms of the Mission.” (NT S11)

Old Maswa

Parokia ya Old Maswa ni kati ya parokia Kongwe katika Jimbo la shinyanya. Parokia Hii ilianzishwa mwaka wa 1962 pale wamisionari wa shirika la Mary Knoll walipofika na kuinzisha ikiongozwa na Padre Charles Callaham. Parokia hii tangia mwaka 2019 inahudumiwa na wamisionari wa Shirika la Damu Takatifu ya Yesu Ambapo wanaendeleza huduma za kiroho hasa kufundisha katekesi katika shule za sekondari, huduma vigangoni na pia huduma za kijamii ni kama huduma ya afya katika dispensary ya old Maswa inayomilikiwa na Jimbo la Shinyanga. Hii ni parokia iliyo na wakristo zaidi ya 3000. Paroko wa sasa Pd. Paul Kitaly alianza na Pd. Benedict Magabe, na sasa Pd. Genes Mahedi amehamia hapo toka mwanzoni mwa 2020.

abt-img-02

abt-slider-01

Blessed are you, Virgin Mother! Your Son, Christ Jesus, spotless lamb has prepared for his spouse, the Church, the new bread and wine of the wedding banquet

Umebarikiwa, ee Mama na Bikira; Mwanao Yesu Kristo, Mwanakondoo asiye na doa, alilitayarishia Kanisa, mchumba wake, mkate na divai mpya ya karamu ya arusi

The cup of blessing that we bless is communion with the Blood of Christ. The bread that we break is communion with the body of Christ

(1Cor. 10:16)

Kikombe kile cha baraka tukibarikicho, je, si ushirika wa damu ya Kristo? Mkate ule tuumegao, Je, si ushirika wa mwili wa Kristo?

(1Kor. 10:16)

Message From St. Gaspar

“I would rather die or suffer evil than to take such an oath. I cannot, I must not, I will not!” St. Gaspar spent five years in jail for refusing to take the oath"